VIDEO: Diamond Platnumz alivyohojiwa na 106&Park ya BET
Diamond Platnumz yupo Los Angels California Marekani tayari kwa ajili ya tuzo za BET 2016, Diamond ambaye yupo nominated katika kipengele cha msanii bora wa kiume kutokea Afrika, alfajiri ya…
Bob Junior kayatoa ya moyoni kuhusu wasanii waliokuwaga Sharobaro rec..(VIDEO)
Msanii na mtayarishaji wa muziki kutoka Sharobaro Record, Bob Junior kupitia Ayo TV kayatoa ya moyoni kuhusiana na wasanii waliokuwaga chini ya Sharobaro Records. Kupitia Ayo TV msanii huyo alisema..'Kwanza kabisa…
Makundi ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2018 ukanda wa Afrika
Usiku wa June 23 2016 shirikisho la soka barani Afrika CAF lilichezesha droo ya Makundi ya ukanda wa Afrika, timu ambazo zitawani kufuzu Kombe la dunia 2018 Urusi, makundi yamepangwa…
Kampuni zilizosimamishwa na RC Paul Makonda leo June 24, 2016…(VIDEO)
Ni June 24, 2016 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amechukua hatua ya kuzisimamisha na kusitisha Kampuni ya Inshinomya Co. LTD na kuyasimamisha Makampuni mengine ya kujenga barabara ya Germinex…
VIDEO: Messi kasherehekea Birthday yake leo June 24, mambo matano ya kufahamu
June 24 Lionel Messi anakumbuka siku yake ya kuzaliwa, leo June 24 2016 anatimiza umri wa miaka 29, Lionel Messi ameweka rekodi nyingi katika soka ikiwemo ya kutwaa Ballon d'Or…
VIDEO: Bashe katusogezea makosa yaliyopo kwenye sheria za mahakama ya mafisadi
Zikiwa zimesalia siku chache kumalizika kwa vikao vya bunge la 11 linaloendelea Dodoma, bado wabunge wameendelea kuwasilisha michango yao. Leo nakusogeza karibu na mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe ambaye…
VIDEO: Serikali imetangaza majina ya waliochaguliwa kidato cha tano na ufundi 2016
June 24 2016 Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa 'TAMISEMI' imetangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na vyuo vya Ufundi kwa mwaka…
AUDIO: TFF wametoa ufafanuzi kuhusu lawama za Yanga vifaa vya mechi za CAF
Yanga ndio klabu pekee inayoiwakilisha Tanzania katika michuano ya Kombe la shirikisho barani Afrika hatua ya Makundi, headlines zimekuwa nyingi toka Yanga wanaojiandaa na mchezo wao wa pili wa hatua…
Haya hapa majina ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano na ufundi 2016
June 24 2016 Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa 'TAMISEMI' imetangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ufundi kwa mwaka 2016.…
Mchezaji kaoneshwa kadi nyekundu kwa kosa la kutoa hewa chafu uwanjani
Katika soka kuna mengi ya kuchekesha lakini hili la muamuzi wa Sweden linaweza likawa la kushangaza zaidi, refa mmoja raia wa Sweden amefanya maamuzi ambayo yamewashangaza wengi, kufuatia uamuzi wake…