VIDEO: Ureno imeshindwa kupata point tatu dhidi ya Iceland
Michuano ya Euro 2016 imeendelea tena usiku wa June 14 2016, kwa mchezo mmoja kupigwa katika uwanja wa Stade Geoffroy-Guichard kati ya Ureno dhidi ya timu ya taifa ya Iceland, huo…
PICHA 7: Samuel Eto’o kafunga ndoa leo June 14 2016
Staa wa zamani wa vilabu vya FC Barcelona na Chelsea Samuel Eto'o leo June 14 2016 amefunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Georgette Tra Lou, Eto'o amefunga ndoa…
Maamuzi ya Brazil kwa kocha wao Dunga baada ya kutolewa Copa America
Ni siku moja imepita toka timu ya taifa ya Brazil iondolewa katika michuano ya Copa America 2016 kwa kufungwa goli 1-0 na Peru. Brazil walifungwa goli dakika ya 75 na Raul…
VIDEO: ‘Moja ya viongozi madikteta nchini ni pamoja na Mbowe’-Mbunge Lusinde
Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde alipata nafasi ya kuchangia katika bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017, moja ya vitu ambavyo alivipa kipaumbele katika mjadala wake ni pamoja…
PICHA 6: Muonekano wa hoteli ya nyota 4.5 waliyofikia Yanga Antalya Uturuki
Bado klabu ya Dar es Salaam Young Africans inaendelea na mazoezi yake ya kujifua kuikabili klabu ya MO Bejaia ya Algeria katika mchezo wa kwanza wa hatua ya nane bora…
Video: Good news kuhusu mshindi wa pili wa Airtel Trace Music Star
Finali za Airtel Trace Music Star zilifanyika Lagos June 11 2016, fainali ambayo ilikuwa na washiriki kutoka mataifa tisa kutoka bara la Africa, ambapo mshindi wa pili kwenye mashindano hayo alikuwa ni…
Mrema kawajibu wapinzani wanaosema Rais Magufuli hazingatii haki za binadamu, katiba
June 14 2016 Mwenyekiti wa chama cha TLP na mbunge wa zamani wa jimbo la vunjo Agustino Mrema amekutana na vyombo vya habari nakuzungumza mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuvitaka…
VIDEO: Acha wabunge walivyocheka lakini Goodluck kafikisha ujumbe wake bungeni
Mbunge Goodluck Mlinga ni mmoja wa wabunge waliozimake headlines kwenye bunge la 11, style yake ya uwasilishaji maneno umekuwa ukimuongezea sifa zake mara kwa mara. June 14 2016 alisimama bungeni na…
VIDEO: Mawili ya mbunge Munde Tambwe kwa Serikali ya Rais Magufuli
June 14 2016 bunge limeendelea kuijadili bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017, nakukutanisha na mbunge wa viti maalum Tabora Munde Tambwe aliyesimama bungeni kutoa vipaumbele vyake katika…
Maamuzi ya serikali ya Uingereza, baada ya mashabiki wake kupigwa Ufaransa
Ni siku chache zimepita toka michuano ya Euro 2016 ianze na tushuhudie mchezo kati ya timu ya taifa ya England dhidi ya timu ya taifa ya Urusi ikimalizika kwa sare…