Mkuu wa MONUSCO awataka waasi wa M23 kuondoka Congo maramoja
Mkuu wa kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) amewataka waasi wa kundi la M23 kusitisha harakati zao na kuondoka…
Waziri mkuu asisitiza Watanzania wote kushirikiana na Serikali, mkazo kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia
WAZIRI MKUU, amewasisitiza Watanzania wote kushirikiana na Serikali kuweka mkazo kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kubadili utaratibu za kupika chakula ili kuachana na matumizi ya kuni na…
Picha:Mkutano wa mawaziri wa Nishati na Fedha wa nchi za Afrika pamoja na wadau wa maendeleo kuhusu Nishati
Leo, Januari 27, 2025, mkutano muhimu wa nishati unaowakutanisha Mawaziri wa Nishati, Mawaziri wa Fedha, na wadau wa maendeleo unafanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania. Mkutano huu, unaojulikana kama “Mission…
Migogoro 9069 yaibuliwa katika kampeni ya msaada wa kisheria ya mama Samia tangu 2023
Imeelezwa kuwa Kampeni ya Msaada wa kisheria ya Mama Samia imesaidia na kuibua Migogoro na changamoto za kisheria Elfu 9 na 69 toka mwaka 2023 ilipoanzishwa ambapo kampeni hiyo imekuwa…
JKCI, MOI wajipanga kutoa huduma ya dharura kwa wageni mkutano wa nishati
Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, leo amefanya ziara hospitali Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), na…
Awamu ya pili ya ubadilishanaji wa mateka imekamilika rasmi
Mwishoni mwa wiki, wanajeshi wanne wa Israel wanaoshikiliwa na Hamas waliachiliwa na wafungwa 200 wa Kipalestina kuachiliwa kama sehemu ya makubaliano ya kusitisha mapigano ambayo yamemaliza miezi 15 ya mapigano…
Yoon Suk Yeol rais wakwanza kufunguliwa mashtaka tuhuma za uasi Korea Kusini
Waendesha mashtaka wa Korea Kusini walimfungulia mashtaka Rais Yoon Suk Yeol siku ya Jumapili kwa tuhuma za uasi, baada ya Mwendesha Mashtaka Mkuu Shim Woo-jung kuitisha mkutano na waendesha mashtaka…
Korea Kaskazini yafanyia majaribio kombora la kimkakati la 1 tangu kuapishwa kwa Trump
Korea Kaskazini imefanya jaribio la kombora la kimkakati, vyombo vya habari vya serikali KCNA viliripoti. Hilo lilikuwa jaribio la kwanza la kombora kufanywa na Pyongyang tangu kurejea kwa Donald Trump…
Israel, Lebanon zimekubali kuongeza muda wa kuondoka kwa wanajeshi wa Israel hadi Februari 18
Marekani ilithibitisha Jumapili kwamba Israel na Lebanon zimekubali kuongezwa kwa muda wa mwisho kwa wanajeshi wa Israel kuondoka kusini mwa Lebanon hadi Februari 18. Makubaliano hayo yaliyofikiwa baada ya Israel…
Waasi wa M23 wauteka mji wa Goma,wataka wanajeshi wajisalimishe ndani ya saa 48
Waasi wa Congo walisema Jumapili wameuteka Goma, mji mkubwa zaidi mashariki mwa nchi hiyo yenye utajiri mkubwa wa madini, baada ya msururu wa mashambulizi ya kasi yaliyowalazimu maelfu ya watu…