Habari kubwa Magazetini Kenya leo January 27, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania January 27, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo January 27, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam January 27, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Alex Msama apewa tuzo ya Heshima na CHAMUITA
Mkurugenzi wa Msama Promotions Alex Msama amepewa tuzo ya Heshima na Chama cha Muziki wa Injili nchini (CHAMUITA) kama Muandaaji Bora wa matamasha ya nyimbo za Injili muda wote kuinua…
RC Mwassa ahaidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa wawekezaji Kagera
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwassa ameahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa wawekezaji Mkoani Kagera lengo ikiwa ni kuzidi kukuza uchumi wa Mkoa huo na kutoa ajira kwa watu…
Dc Kilombero Kyobya ataka wazazi kutoa ushirikiano mahakamani kesi za ukatili Kwa watoto
Mkuu wa Wilaya Kilombero Mkoani Morogoro Mhe. Wakili Dunstan Kyobya amewataka wazazi kutoa ushirikiano kwenye vyombo vya sheria ikiwemo mahakama ili haki iweze kutendeka kwa watu wanaofanya vitendo vya ukatili…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo January 26, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania January 26, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo January 26, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam January 26, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Maafisa kutoka wizara ya katibana sheria wapiga kambi mkoani Geita
Maafisa wa Wizara ya Katiba na Sheria wnatarajia kuwafikia Wananchi wenye Changamoto mbalimbali kwa lengo la kutatua Migogoro mbalimbali ikiwemo migogoro sugu ya Ardhi , Mirathi , Migogoro ya mipaka…
Wakurugenzi wa Halmashauri nchini watakiwa kuwa sehemu ya usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya kilimo
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imewataka wakurugenzi wa Halmashauri nchini kuwa sehemu ya usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya kilimo kama wanavyo heshimu maandalizi ya mbio za mwenge ili kuleta…
Waziri Mkuu kuzindua KanziData na mfumo wa taarifa za wenye ulemavu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Januari 25 2025 atazindua Kanzidata na Mfumo wa Taarifa za Watu Wenye Ulemavu Unaotokana Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, kwenye…