Wafanyakazi Korea Kusini wamekuja na hii ya kulipia usingizi muda wa kazi…
Korea Kusini ni moja ya Mataifa yaliyoendelea kiuchumi na raia wake hutumia masaa mengi zaidi kufanya kazi. Utafiti uliofanywa na Shirikisho la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo OECD ulifanya uchunguzi na…
Magazeti ya Tanzania Octoba 8, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Octoba 8, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Mapenzi yake kwa Man United yafanya atumie zaidi ya saa 450 kutengeneza kitu hiki (+Pichaz)
Ushabiki wa soka kwa raia wa Uingereza unazidi kuchukua nafasi katika headlines za soka kila kukicha, August 30 2015 tuliona shabiki wa klabu ya West Ham United John High kuchora tattoo ya…
Umahiri wa beki huyu wa Man United haukuishia uwanjani pekee hata kazi za nyumbani (+Pichaz)
Beki wa klabu ya Manchester United Marcos Rojo ameingia kwenye headlines baada ya kuweka picha katika mitandao ya kijamii zikimuonesha akifanya shughuli za nyumbani kama kuosha vyombo na kadhalika. Marcos Rojo sio…
Top 10 ya wasichana warembo katika mchezo wa tennis 2015 (+Pichaz)
Mchezo wa tennis ni moja kati ya michezo inayokuwa kwa kasi duniani kote, October 7 nakuletea Top 10 ya warembo wanaocheza mchezo wa tennis, list hii haitokani na umahiri wao…
Tume ya Uchaguzi imetoa majibu kuhusu Wanafunzi kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015… (Audio)
Tukiwa bado tupo kwenye headlines za Uchaguzi 2015 leo Octoba 7, 2015 Mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi, Jaji Damian Lubuva ametolea majibu kuhusu Wanafunzi kushiriki Uchaguzi mkuu. 'Suala la Wanafunzi…
Full Time ya Taifa Stars vs Malawi October 7 2015 (+Pichaz)
October 7 ni siku ambayo timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars ilishuka dimbani kucheza mechi ya hatua za awali za kuwania kufuzu kucheza michuano ya Kombe la Dunia 2018.…
Ikitokea Jose Mourinho kafukuzwa Chelsea, hiki ndio kiwango cha pesa atakacholipwa…
Mabingwa wa ligi kuu England Chelsea imepata matokeo mabaya mfululizo na kusababisha kuwa na sintofahamu juu ya kibarua cha kocha wao Jose Mourinho. Pamoja na mmiliki wa klabu hiyo Roman…
Umewahi kufikiria itakuja kutokea Lexus ya mabox? Tayari imekamilika, hii hapa… +Pichaz & Video
Ni raha wakati mwingine kujua kwamba ukifikiri nje ya box na kufanya ubunifu mzuri hata Dunia inakutambua !! Lexus ni gari ya kifahari sana, lakini ni gari ambazo zinafahamika pia...…
Mwili wa Mchungaji Christopher Mtikila tayari umeagwa Dar, safari imeanza kwa ajili ya Mazishi.. #RIP (Picha)
RIP Mchungaji Christopher Mtikila… Asubuhi ya Octoba 04 2015 taarifa ya Majonzi ilitufikia ambapo taarifa yenyewe ilikuwa inahusu msiba wa aliyekuwa Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa chama cha kisiasa cha DP,…