Hamas imethibitisha kuwa itachapisha majina ya mateka wanaotarajiwa kutolewa Jumamosi
Kiongozi mkuu wa Hamas Zaher Jabarin amethibitisha kwamba kundi hilo la kigaidi litachapisha baadaye leo majina ya mateka wanne wanaotarajiwa kuachiliwa kesho, kwa mujibu wa masharti ya makubaliano ya kuachiliwa…
Uunganishwaji wa umeme vijijini umefikia asilimia 100
Kuelekea mkutano wa nishati wa wakuu wa nchi za Afrika, Tanzania imeweka historia kwa kuwaunganishia umeme wananchi kwa asilimia 78.4 ambapo kwa vijijini uunganishaji umefikia asilimia 100 na kwenye vitongoji…
Umoja wa Mataifa umethibitisha Marekani itajiondoa katika Shirika hilo mwaka 2026
Marekani inatazamiwa kujiondoa rasmi kutoka kwa Shirika la Afya Duniani (WHO) Januari 2026 baada ya shirika hilo la Umoja wa Mataifa kupokea barua rasmi kutoka kwa Rais wa Marekani Donald…
Wasira: waliopora ardhi za vijiji warudishe kwa wananchi.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wassira, ameiagiza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kuhakikisha ardhi ya vijiji iliyoporwa kinyume cha sheria, inarudishwa kwa…
Donald Trump anasema anapanga kuwasiliana na Kim Jong Un wa Korea Kaskazini
Rais wa Marekani Donald Trump amesema anapanga kuwasiliana na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un baada ya kurejea Ikulu ya White House. Trump aliulizwa kuhusu mipango yake kwa Kim…
Donald Trump kuitaka OPEC kupunguza bei ya mafuta kuleta unafuu wa bei za bidhaa
Rais wa Marekani Donald Trump amesema ataitaka benki kuu ya nchi hiyo kupunguza viwango vya riba pindi bei ya mafuta ghafi itakaposhuka. Trump alisema, "Ningependa kuona bei ya mafuta ikishuka,…
Zaidi ya wahamiaji 500 wasio na vibali wamekamatwa Marekani: White House
RAIS Donald Trump ameamuru maafisa wa Marekani kuanza kutekeleza mpango wa kurudisha wahamiaji wasiokuwa na hati za kisheria, kama sehemu ya juhudi za kupambana na kile alichokiita "uvamizi" kwenye mpaka…
Kanye West ndiye msanii tajiri zaid duniani 2025
Kwa mujibu wa Erin Venture Services, Rapa Na Mfanyabiashara Kanye West ameripotiwa kuwa mwanamuziki tajiri zaidi duniani mwaka 2025, akiwa na utajiri unaokadiriwa kufikia dola bilioni 2.77 Sawa Na Kiasi…
Watoto Milioni 1 wanahitaji msaada wa afya ya akili Gaza
Takriban watoto milioni moja huko Gaza wanahitaji haraka msaada wa afya ya akili na kisaikolojia kwa ajili ya unyongofu, wasiwasi na mawazo ya kujiua, mkuu wa Umoja wa Mataifa wa…
Haki Elimu yatoa Bil.7 kukabiliana na vitendo vya Ukatili Kwa watoto Mashuleni
Shirika la Haki Elimu, kwa kushirikiana na serikali ya Canada kupitia taasisi ya Global Affairs Canada, limezindua Mradi wa Mageuzi ya Usawa wa Kijinsia katika Elimu (MMUKE). Mradi huu utagharimu…