Fid Q kufanya collabo na 2Face? DC Makonda na ajira K’ndoni, Mkubwa Fella na siasa Je?…255 (Audio)
Farid Kubanda maarufu kama Fid Q atafanya collabo na 2face baada ya kushiriki coke Studio....amesema alishawhi kukutana nae backstage na akamwambia anapenda jinsi anavyofanya shoo,,,pia alikutana nae S.Afrika.. kifupi amesema…
CHADEMA wamejipanga hivi kwenye kuchukua fomu za kugombea Ubunge na Udiwani 2015
Kuanzia juzi July 15 hadi 19 mwaka huu 2015 CHADEMA wameanza rasmi utaratibu Wagombea wa Ubunge na Udiwani kuchukua na kurudisha fomu kwenye Majimbo yenye Wabunge wa chama hicho. Baada…
Mpango ulivyosukwa kumtorosha muuza unga wa Mexico “El Chapo” gerezani! (Video)
Headlines kubwa sasa hivi duniani na kwenye vyombo vingi vya habari ni kuhusiana na muuzaji sugu wa unga Joaquin Guzman maarufu kama El Chapo aliyetoroka jela siku chache zilizopita. Stori…
Hekaheka iliyomkuta Barnaba, kabla ya kupigwa picha akalazimishwa kupimwa… (Audio)
Idara ya Hekaheka leo imepiga Stori na msanii Barnaba, unajua mastaa wanakutana na visa vingi sana kwenye maisha ya kila siku wanayoishi, Barnaba kaamua kushea hiki kimoja kilichomkuta akiwa na…
Kwa kujiamini kabisa, huyu Meya kamuita Rais Obama nyani, mkewe Sokwe.. baada ya hapo je?
Patrick Rushing ni Meya wa Mji wa Airway Heights ambao uko Washington, jamaa alijikuta tu akimwita Obama nyani na akamwita Michelle Obama sokwe !! Ukizungumzia ishu ya Ubaguzi wa rangi…
Nimekuwekea Pichaz za mastaa 8 wa soka Ulaya wenye tattoo na maana zake!!
Kuna baadhi ya watu wanaamini Tattoo ni moja kati ya njia za utunzaji kumbukumbu za matukio muhimu mwilini..na wakati mwingine hata kupamba mwili kwa mchoro wowote anaovutiwa nao mtu. Hivi…
Camera hazikumuacha huyu dogo baada ya Ronaldo kusaini Tshirt yake…(Video)
Mashabiki wengi wa soka duniani kila mmoja anatamani siku moja kuonana na mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo.. na kila mmoja anajua ni nini anaweza kumwambia mara tu anapopata bahati ya…
Ciara kwenye headlines na kichupa kipya: Dance Like We’re Makin Love. (Video)
Baada ya kuweka headlines na wimbo wa I Bet, Ciara amerudi tena na kichupa kipya. Wimbo unaitwa Dance Like We're Making Love na wimbo huu pia unapatikana kwenye album yake…
#MAGAZETINI JULY 17…Wasichana waliofanya vizuri kidato cha sita na Marafiki wa LOWASSA watua CHADEMA!!
MWANANCHI Wakati mchakato wa kumtafuta mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM ukiwa umekamilika, ni dhahiri kwamba baadhi ya vigogo waliokuwa na matumaini makubwa ya kuukwaa, sasa wanaugulia maumivu huku…
Mapokezi ya Dk. MAGUFULI Z’bar, Kiingereza Shule za Msingi.. Mgomo wa Mabasi, Stakishari.. (PowerBreakfast Audio)
Inawezekana ulikuwa mbali na redio yako na uchambuzi wa magazeti kupitia @CloudsFM umekupita, nimekurekodia zile zote kubwa zilizosikika leo na utazipata zote hapa. Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Magufuli jana…