Rais Samia akutana na Mjumbe Maalum wa Rais wa Djibouti
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Rais wa Djibouti Mhe. Ismail Omar Guelleh ambaye ni Waziri wa…
Marais 25 kushiriki mkutano wa nishati Dar es Salaam
MAKAMU wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) anayeshughulikia masuala ya nishati na mabadiliko ya hali ya hewa, Dk Kevin Kariuki amesema zaidi ya marais 25 na mawaziri…
Israel kupokea majina 4 ya mateka watakao achiliwa awamu ijayo
Kundi la Palestina Hamas linatarajiwa kutoa kwa Israel majina ya wanajeshi watatu wa kike na raia wa Israel inayemshikilia huko Gaza kwa ajili ya maandalizi ya kuachiliwa kwao mwishoni mwa…
Visima 9 kati ya 10 vya maji safi na salama vimechimbwa Wilayani Lindi
JUMLA ya visima 9 kati ya 10 vya maji safi na salama vimechimbwa Wilayani Lindi na Wizara ya maji kupitia kwa wakala wa maji na usafi wa mazingira Vijijini (Ruwasa)Wilayani…
Bunge laipongeza tume ya Tehama kukipeleka Kiswahili duniani
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeipongeza Tume ya TEHAMA kwa juhudi inazofanya katika kukuza sekta hiyo nchini, lakini zaidi katika jitihada za `kukiuza’ Kiswahili duniani. Pongezi hizo zimetolewa…
Wadau wa Mazingira na utalii watakiwa kuwa mabalozi kwa kutunza vivutio vya asili
Wadau wa Mazingira na utalii wametakiwa kuwa mabalozi kwa kutunza vivutio vya asili Ili jamii inayowazunguka iige mfano kutoka kwao. Akizungumza wakati akifungua warsha ya siku mbili iliofanyika katika ukumbi…
Waziri Simbachawene amjibu Mbowe ishu ya TASAF
Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora George Simbachawene amesema Serikali itaendelea kuhakikisha kaya masikini zinajikwamua kiuchumi kupitia miradi mbalimbali inayotekelezwa kupitia Mpango…
DCP Mutafungwa, akabidhi bendera ya Taifa kwa kikosi maalum cha mbinu na silaha (SWAT)
Kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camillus Wambura, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Wilbroad Mutafungwa, amekabidhi Bendera ya Taifa kwa Kikosi maalum cha mbinu…
Serikali yahamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini
Serikali kupitia Wizara ya Fedha, imebainisha kuwa itaendelea na utoaji wa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini ili kuwawezesha wananchi katika maeneo ya vijijini kuwa…
Waziri Mhagama akutana na uongozi kutoka Taasisi ya Kimataifa ya huduma za Afya ya nchini Korea
Waziri Afya Mhe. Jenista Mhagama leo Januari 23,2025 amekutana na uongozi kutoka Taasisi ya Kimataifa ya huduma za Afya ya nchini Korea na kuuelezea kuwa katika kipindi cha miaka mitano…