Baba mzazi adaiwa kumchinja mwanaye
Baba mzazi mkazi wa Sengerema anadaiwa kumuua mwanaye wa miaka minne kwa kumchinja koromeo na kumchoma kwa kisu kwenye kitovu na utumbo kutoka nje. Mzazi huyo anadaiwa kufanya mauaji hayo…
Mama amkata mwanaye paja,achoma mshikaki
Mwanamke mmoja Kilimanjaro amekamatwa na polisi akidaiwa kumkata mtoto wake mwenye umri wa miaka nane nyama ya paja na kuichoma mithili ya mshikaki. Mwananmke huyo aliyetajwa kwa jina la…
Viboko vyatembezwa makaburini Sengerema
Wajukuu wa marehemu Sabina Ngalu wa Mwanza wamecharazwa viboko na watoto wa marehemu baada ya kung'ang'ania kaburini wakitaka wapewe fedha. Chanzo cha wajukuu hao zaidi ya 10 kucharazwa bakora ni…
Wiki mbili kabla ya kukutana na Yanga – Okwi apata majeruhi, Daktari azungumza
Zikiwa zimebaki takribani mbili kabla ya mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga, daktari wa Simba SC, Yassin Gembe amesema kwamba mshambuliaji, Mganda Emmanuel Okwi aligongwa kwenye enka na…
Magazeti ya leo October 07 10 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Rekodi 7 tofauti alizoweka Cristiano Ronaldo baada ya kufunga hat trick dhidi ya Bilbao
Mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo jana usiku alifunga magoli matatu na kutimiza jumla ya magoli 17 katika michuano yote aliyoitumikia Real Madrid. Magoli hayo yalimfanya Ronaldo aweke rekodi kadhaa…
Tazama namna Ronaldo alivyoweka rekodi mpya ya ufungaji – Madrid iipocheza dhidi ya Bilbao
Mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo jana usiku aliendelea kuandika rekodi mpya kwenye historia ya soka duniani hasa katika upande wa ufungaji wa magoli. Katika uwanja wa Santiago Bernabeu, Real…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo October 06 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Matokeo ya Yanga SC dhidi ya Wanajeshi JKT Ruvu haya hapa
Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo huo. Jaja akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa JKT Ruvu. Jaja akichuana na beki wa JKT RUVU, Madenge Ramadhani. Jaja akichuana na beki wa JKT…
Matokeo ya Arsenal vs Chelsea haya hapa
Ile mechi ya kuamua nani mbabe wa jiji la London kati ya Chelsea dhidi ya Arsenal imemalizika muda mfupi uliopita. Matokeo kwenye mchezo huo uliokuwa na kashi kashi nyingi ukiwemo…