#StorizaWiki: Unaambiwa hivi ndio vituo 11 vya Treni vyenye mvuto duniani
Hii stori imekuja siku chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kutangaza mpango utaofanyiwa kazi hivi karibuni wa kuwepo kwa Treni itayokua inatumika kusafirisha abiria na kuwapeleka Airport Dar es salaam…
EPL: Matokeo ya Manchester United vs Everton haya hapa
Baada ya kukubali kunyanyashwa mara mbili mfululizo msimu uliopita na Everton, hatimaye leo Manchester United ilipata nafasi kufuta uteja wao kwa klabu hiyo ya Merseysed. Katika mchezo uliomalizika hivi punde…
Unajua rekodi za Wenger vs Mourinho – tazama rekodi kujua nani kiboko ya mwenzie
Yakiwa yamebakia masaa takribani matano kabla ya mechi ya kugombea ufalme wa jiji London katika Chelsea dhidi ya Arsenal kuchezwa, millardayo.com inakuletea rekodi ya makocha wanaoziongoza timu hizo Jose Mourinho…
Video ya magoli ya Messi na Neymar ya jana usiku – ipo hapa
Wakiwa hawajapoteza mchezo wowote katika ligi kuu ya Hispania mpaka sasa huku wakiongoza ligi hiyo, FC Barcelona leo walijitupa uwanjani kupambana na Rayo Vallecano kwenye dimba la Estadio del Rayo…
Angalia magoli manne ya Arjen Robben na Lewandoski – Bayern walipoiua Hannover
Mabingwa watetezi wa Bundesliga klabu ya FC Bayern Munich jana iliifumua bila huruma Hannover 04 kwa magoli manne kwa bila katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Allianz Arena. Magoli ya…
Angalia namna mabingwa watetezi wa La Liga – A. Madrid walivyopewa kipigo na Valencia
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Hispania La Liga - klabu ya Atletico Madrid jana imepokea kipigo kikubwa kutoka kwa klabu ya Valencia. Mpaka kufikia dakika ya 10, Madrid walikuwa…
Kama ulimis kuona mechi ya Liverpool vs WBA, angalia video ya magoli hapa
Baada ya kuwa na mfululizo wa matokeo mabaya katika ligi kuu ya England na katika michuano ya klabu bingwa barani ulaya, washindi wa pili wa ligi EPL msimu uliopita klabu…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo October 05 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Rekodi mpya waliyoweka FC Barcelona kwenye La Liga hii hapa
Barcelonawamefanikiwa kutengeneza rekodi kadhaa usiku wa leo katika ligi kuu ya Hispania baada ya kupata matokeo chanya dhidi ya Rayo Vallecano kwenye dimba la Estadio del Rayo Vallecano. FC Barcelona…
Alichosema Cheik Tiote kuhusu tuhuma za kuwa na wake wawili na ‘hawara’
Hivi karibu gazeti la The Sun liliripoti juu ya tuhuma za kumhusu kiungo wa timu ya Newcastle Cheick Tiote na familia yake. Tiote, ambaye anavuna kiasi cha paundi £45,000 kwa…