Angalia magoli manne ya Arjen Robben na Lewandoski – Bayern walipoiua Hannover
Mabingwa watetezi wa Bundesliga klabu ya FC Bayern Munich jana iliifumua bila huruma Hannover 04 kwa magoli manne kwa bila katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Allianz Arena. Magoli ya…
Angalia namna mabingwa watetezi wa La Liga – A. Madrid walivyopewa kipigo na Valencia
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Hispania La Liga - klabu ya Atletico Madrid jana imepokea kipigo kikubwa kutoka kwa klabu ya Valencia. Mpaka kufikia dakika ya 10, Madrid walikuwa…
Kama ulimis kuona mechi ya Liverpool vs WBA, angalia video ya magoli hapa
Baada ya kuwa na mfululizo wa matokeo mabaya katika ligi kuu ya England na katika michuano ya klabu bingwa barani ulaya, washindi wa pili wa ligi EPL msimu uliopita klabu…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo October 05 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Rekodi mpya waliyoweka FC Barcelona kwenye La Liga hii hapa
Barcelonawamefanikiwa kutengeneza rekodi kadhaa usiku wa leo katika ligi kuu ya Hispania baada ya kupata matokeo chanya dhidi ya Rayo Vallecano kwenye dimba la Estadio del Rayo Vallecano. FC Barcelona…
Alichosema Cheik Tiote kuhusu tuhuma za kuwa na wake wawili na ‘hawara’
Hivi karibu gazeti la The Sun liliripoti juu ya tuhuma za kumhusu kiungo wa timu ya Newcastle Cheick Tiote na familia yake. Tiote, ambaye anavuna kiasi cha paundi £45,000 kwa…
Angalia trailer ya filamu mpya aliyoigiza mchezaji huyu wa Man United
Kama atakuwa hachori, au kufundisha soka la ufukweni, ama kufanya kampeni za dhidi ya ukosefu wa haki za kijamii , basi utamkuta mchezaji huyu wa zamani aliyewahi kutamba kwenye soka…
Kama ulikosa mchezo wa FC Barcelona vs Rayo Vallecano, matokeo haya hapa
Wakiwa hawajapoteza mchezo wowote katika ligi kuu ya Hispania mpaka sasa huku wakiongoza ligi hiyo, FC Barcelona leo walijitupa uwanjani kupambana na Rayo Vallecano kwenye dimba la Estadio del Rayo…
Matokeo ya Manchester City dhidi ya Aston Villa haya hapa
Siku chache baada ya kushindwa kupata matokeo chanya katika mchezo wao wa pili wa ligi ya mabingwa wa ulaya dhidi ya klabu ya AS Roma, mabingwa watetezi wa ligi kuu…
Kocha huyu alalamika kunyimwa mualiko wa mvinyo na Van Gaal
Wakati wa utawala wa Sir Alex Ferguson katika klabu ya Manchester United alikuwa na utaratibu wa kuwaalika baadhi ya makocha wa timu pinzani kunywa mvinyo mara tu baada ya kumalizika…