Sudan Kusini yaamuru watoa huduma ya intaneti kuzuia mitandao ya kijamii ikiwemo Tiktok na Facebook
Mamlaka ya Sudan Kusini imesitisha ufikiaji wa mitandao ya kijamii kwa muda usiopungua siku 30 baada ya video zinazoonyesha madai ya mauaji ya raia wa Sudan Kusini katika jimbo la…
Trump aitaka Urusi kukomesha vita vya Ukraine, aonya kuhusu vikwazo iwapo makubaliano hayatafikiwa
Rais wa Marekani Donald Trump aliitaka Urusi "kutulia sasa" na kumaliza vita nchini Ukraine, akionya juu ya ushuru mkubwa, ushuru na vikwazo kwa mauzo ya nje ya Urusi ikiwa azimio…
Kiboko tishio kwa wananchi auawa Geita
Mnyama aina ya Kiboko aliyewahi kuwa tishio kwa kuuwa Ng"ombe watatu kuharibu Mazao ya wananchi na Kujeruhi Mtu Mmoja katika kijiji cha Itare Kata ya Katoma Halmashauri ya wilaya ya…
Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi kumaliza changamoto za utitiri wa Kodi kwa wafanyabiashara.
Utitiri wa Kodi kwa wafanyabiashara ni moja ya changamoto kubwa inayosababisha kukwepa ulipaji Kodi stahiki kwa kundi hilo na kwamba jambo hilo si tu linadhohofisha maendeleo ya wafanyabiashara hao kuendesha…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo January 23, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania January 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo January 23, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam January 23, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Guterres asifu ‘mchango mkubwa’ wa Trump katika makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza
Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amepongeza juhudi za kidiplomasia za Rais wa Marekani Donald Trump kupata kuachiliwa kwa mateka na makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na…
Serikali imeahidi kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji katika michezo ya kubahatisha nchini
Serikali imeahidi kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji katika michezo ya kubahatisha nchini kwa kuwa ni moja ya chanzo muhimu cha mapato ya kusaidia maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Hayo yamesemwa…
Serikali yadhamiria kujikita kuwalipa wakandarasi
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira imepokea taarifa ya hali ya upatikanaji wa rasilimali fedha na utekelezaji wa bajeti ya Wizara ya Maji kwa kipindi cha nusu…
BoT yanunua dhahabu yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 570
Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amebainisha kuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imenunua tani 2.6 za dhahabu inayochimbwa na kusafishwa hapa nchini ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukabiliana…