Kutana na boti yenye muonekano wa Helikopter.
Kuna vitu vingi sana kwenye haya maisha vimetengenezwa kwa ubunifu au kubadilishwa kwenye muonekano wa kawaida uliozoeleka ili kuleta ladha zaidi au kuongeza ubora. Ipo nchini Marekani na unaambiwa kwa…
Dakika 17 za kusikiliza Magazeti yakisomwa Redioni.
Baada ya kupitia kurasa mbalimbali za Magazeti sasa nakupa nafasi ya kusikiliza uchambuzi wa Magazeti yakichambuliwa ndani ya Power Breakfast. 96.0 Clouds Fm inapatikana Tanga. Bonyeza play kusikiliza.
Magazetini leo March 13 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Habari 10 za Amplifaya March 12 2014
Kama unahitaji kuwa karibu na kila tukio linalotokea ndani na nje ya Tanzania unaweza kujiunga na familia ya Millard Ayo kwenye facebook twitter na instagram kwa jina la @millardayo
Matokeo ya Barca vs Man City na ya PSG na wafungaji wake March12.
Kwa stori kama hizi na nyingine za ndani na nje ya Tanzania, karibu kwenye familia ya MillardAyo kupitia twitter facebook na instagram kwa jina hilohilo ili kuwa karibu zaidi na…
Hiki kichekesho kinachomhusu Diamond Platnumz umekipata?
Mitaani kumekua na vichekesho vingi sana vinavyotungwa ingawa kwa hiki sijajua kilikuwa ni live au watu waliamua kujirekodi ili kuwacheksha watu. hiki kinavyoelezea ni namna promota huyu wa Morogoro alipompigia…
Msikilize Mbwiga leo March 12.
Taarifa za michezo zinakamilishwa na Mbwiga kupitia Sports Extra kwa kila Jumatatu hadi Ijumaa,hizi ni dakika kadhaa anazotoa simulizi kwa soka la zamani. 88.4 Clouds Fm inasikika ukiwa Mtwara. Bonyeza…
Unalikumbuka gorofa lililoporomoka Dar?hapa kuna taarifa yake kutoka mahakamani leo.
Kama unalikumbuka Ghorofa lililowahi kuingia kwenye headline kwa kuporomoka likiwa bado linaendelea na ujenzi sasa leo Mkurugenzi wa zamani wa Manispaa ya Ilala Gabriel Fuime na wenzake 11 wamesomewa upya…
Picha za majengo yaliyoporomoka New York muda mfupi uliopita.
Majengo mawili yameporomoka New York Marekani ambapo mpaka sasa imetoka ripoti ya watu wawili kufariki na wengine kutoonekana huku 18 wakijeruhiwa na wanne wakikimbizwa hospitali. Chanzo cha majengo hayo kuporomoka…
Kutoka bungeni Dodoma saa kumi na mbili jioni March 12 2014.
Taarifa kutoka Mjengoni (104.4 Clouds Fm) hatimae Samuel Sitta ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa Bunge la katiba kwa kupata jumla ya kura 487 kati ya kura zote 563 zilizopigwa…