Serikali kupata Bilioni 100 kwa mwaka, kutokana na bahati nasibu ya Taifa
Serikali kupitia Wizara ya Fedha inatarajia kukusanya sh bilioni 100 kila mwaka kutokana na uwekezaji wa dola 20 milioni uliofanywa na kampuni ya ITHUBA Tanzania, iliyopata leseni ya miaka nane…
Serikali imefanya uwekezaji mkubwa TMA: Waziri Mkuu
SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini ikiwemo upande wa miundombinu ya uangazi…
WHO yasikitishwa na uamuzi wa Marekani kujiondoa kwenye shirika
Shirika la Afya Duniani (WHO) siku ya Jumanne lilisema linajutia uamuzi wa Rais mpya wa Marekani Donald Trump wa kutaka kujiondoa katika shirika hilo. WHO "ina jukumu muhimu katika kulinda…
Wizara ya Madini yakusanya bilioni 521 nusu ya kwanza ya mwaka wa fedha 2024/25
Wizara ya Madini imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 521 katika kipindi cha Julai 1, 2024, hadi Desemba 31, 2024. Hii ni sawa na asilimia 52.2 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni…
Putin na Xi Jinping wazungumza kwa njia ya video na Trump saa chache baada ya kuapishwa
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, alipiga simu ya video na mwenzake wa China, Xi Jinping, katika ishara ya kuonyesha umoja saa chache baada ya Donald Trump kuapishwa kama rais wa…
Mateka wanne zaidi wa kike wa Israeli wataachiliwa wikendi hii :Hamas
Hamas imesema mateka wanne zaidi wa kike wa Israel wataachiliwa huru wikendi hii ili kuwalipa wafungwa wa Kipalestina, huku rais mpya wa Marekani, Donald Trump, akisema hana imani kuwa makubaliano…
Kuwa Real Madrid ni ndoto iliyotimia na niko tayari kutoa kilicho bora zaidi :Mbappe
Nyota wa Real Madrid, Kylian Mbappe, alizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari kabla ya mechi ya timu yake dhidi ya Salzburg katika Ligi ya Mabingwa, iliyopangwa Jumatano, Januari 22…
Ancelotti azumgumzia kuhusu tetesi za kuondoka mwishoni mwa msimu
Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti alionekana katika mkutano na waandishi wa habari, kuzungumzia pambano la kesho dhidi ya Salzburg, katika raundi ya saba ya Ligi ya Mabingwa. Kocha huyo…
Perez ndiye rais wa Real Madrid hadi 2029
Klabu ya Real Madrid ilitangaza kwenye tovuti yake kuwa Florentino Perez ataendelea kuwa rais wa Klabu ya Royal hadi 2029. Klabu hiyo ilisema: "Florentino Perez ni rais wa Klabu ya…
Bashungwa aapishwa kuwa mwenyekiti tume ya jeshi la polisi,magereza,zimamoto nauhamiaji
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ameapishwa na Kaimu Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dodoma, Edwin Kakolaki kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Jeshi la…