Baraza Kuu la CHADEMA Taifa limeridhia uteuzi wa Katibu Mkuu Mpya John Mnyika na Manaibu Katibu Wakuu wake wawili Salum Mwalimu(Zanzibar) na Singo Benson Kigaila (Bara), Mbunge John Heche ametangazwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu.
BREAKING: John Mnyika ndie Katibu Mkuu CHADEMA, Mashinji atoka (+video)
Leave a comment
Leave a comment