Mwenyekiti wa CHADEMA na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ameshambuliwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana wakati akirejea nyumbani kwake Dodoma, amekimbizwa hospitali kwa ajili ya matibabu.
BREAKING: Mbowe ashambuliwa na wasiojulikana akimbizwa Hospitali
Leave a comment
Leave a comment