Waumini wa Dini ya Kiislamu na Wananchi Wilayani Chato Mkoani Geita wamemuomba Mh.Rais wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan kuendeleza Ujenzi wa Msikiti ulioachwa na Hayati John Pombe Magufuli.
Kilio cha Wana Chato wamuomba Rais Samia kukamilisha Ujenzi wa Msikiti ulioachwa na hayati Magufuli
Leave a comment
Leave a comment