Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Malkia wa Tembo – “Kauli ya JPM ya ‘Hapa Kazi Tu’ haitekelezwi Mahakamani”
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Malkia wa Tembo – “Kauli ya JPM ya ‘Hapa Kazi Tu’ haitekelezwi Mahakamani”
Top Stories

Malkia wa Tembo – “Kauli ya JPM ya ‘Hapa Kazi Tu’ haitekelezwi Mahakamani”

November 7, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Raia wa China, Yang Feng Glan ‘Malkia wa Tembo’ ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa kauli ya Rais John Magufuli ya ‘Hapa Kazi Tu’ haitekelezwi mahakamani kwa sababu ushahidi kesi yake unaahirishwa mara kwa mara.

Mbali ya Feng, wengine ni Salvius Matembo na Philemon Manase ambapo wanakabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi wakidaiwa kufanya biashara ya vipande 706 vya meno ya Tembo vyenye uzito wa kilogramu 1889 zenye thamani ya Sh.bilioni 13.

Feng alitoa kauli hiyo, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shahidi, baada ya wakili wa Serikali, Wankyo Simon kudai upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.

Wakili Simon aliieleza mahakama kuwa walitarajia kuwa na shahidi lakini anaumwa, hali yake bado siyo nzuri.

Baada ya kueleza hayo, Feng amedai kuwa anakumbuka Jaji Mkuu alisema kesi zote za zamani zimalizike kwa haraka, lakini kesi yake imekuwa ikipangiwa kusikilizwa mfululizo huku mashahidi wakishindwa kufika.

“Pia hata Rais John Magufuli anasema Hapa Kazi Tu, nikasema sasa mbona mahakama haina hapa kazi tu, nipo mahabusu naumwa moyo, misuli inauma, kidole kimekufa ganzi, lakini najitahidi nakuja”.

Kutokana na hatua hiyo, Hakimu Shaidi aliutaka upande wa mashtaka upeleke mashahidi.

Kesi hiyo imeahirishwa na itaanza kusikilizwa mfululizo kuanzia November 21,24,27,28,29,30 na December 1, 2017.

Ulipitwa na hii? Shahidi kesi ya Malkia meno ya Tembo hajatokea Mahakamani

You Might Also Like

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao

Magaya, Gwajima, Waziri Mkenda wasaka dawa dhidi ya Ukatili

Alichokifanya Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa, Ulega afunguka “Ametoa kwa Yatima”

TAGGED: Ayo TV, habari daily, TZA HABARI
Millard Ayo November 7, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mfanyakazi wa TRA aliyeishi kifahari na magari 19 karudi tena Mahakamani
Next Article Polisi wachukua simu ya Zitto Kabwe, wataka kupekuwa Ofisi ya ACT Wazalendo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?