Mwenyekiti wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni Freeman Mbowe alikutana na Waandishi wa habari Dodoma ambapo ameeleza baadhi ya kasoro zilizojitokeza katika bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/19 ambayo iliwasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha Dr Philip Mpango mwishoni mwa wiki hii.
“CCM wanashangilia wakijua kabisa hii ni bajeti hewa” –Freeman Mbowe
Leave a comment
Leave a comment