Muda huu kupitia AyoTV tunakuletea LIVE, Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. FaustineNdugulile anazungumza na waandishi wa habari kuhusu waganga wanaotangaza magonjwa wanayotibu.
LIVE: Wizara ya afya wazungumzia Waganga wanaotangaza aina ya magonjwa wanayotibu
Leave a comment
Leave a comment