Ikiwa kama kawaida yake baada ya kumalizika kwa Sikukuu ya Pasaka, Zuch Zuchero akiwa na M-Koba hajachoka ameingia mtaani leo akiwa na swali lake tata ambapo anakuuliza hivi; Ikiwa umekutana na mtu mwenye Kiwalaza lakini amesuka Rasta, utampa jina gani la utani…?
Meno Nje!!! Jamaa ana Kiwalaza lakini kasuka Rasta,utampa jina gani ? (+video)
Leave a comment
Leave a comment