Leo June 8, 2018 Mwili wa marehemu Salum Mohamed maarufu Sam Wa Ukweli umetolewa chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya Mwananyamala tayari kwa kuelekea Bagamoyo, Kiwangwa mkoani Pwani ambapo ndipo mazishi yatafanyika.
Mjomba wa ‘Sam wa Ukweli’ “atazikwa kwenye mananasi alipolala Mama yake”
Tazama LIVE jipya aliloibuka nalo Dr. Shika akizungumza na Waandishi wa habari
https://youtu.be/kaJe4GJz0sI