Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: “Wimbo wa Ommy Dimpoz ni mali yangu ila…” – Producer Abydaddy
Share
Notification Show More
Latest News
Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
March 23, 2023
DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’
March 23, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > “Wimbo wa Ommy Dimpoz ni mali yangu ila…” – Producer Abydaddy
AyoTV

“Wimbo wa Ommy Dimpoz ni mali yangu ila…” – Producer Abydaddy

July 8, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Siku mbili tu zimepita tangu mwimbaji wa Bongofleva Ommy Dimpoz kuutambulisha wimbo wake mpya ‘Cheche’ lakini leo July 8, 2017 ameibuka Producer Abydaddy akichukua headlines kwenye mitandao akilalamika kuwa Ommy Dimpoz amechukua chorus yake na kuitumia bila ridhaa yake.

Abydaddy amekaa kwenye EXCLUSIVE interview na Ayo TV na millardayo.com na kusema:>>>”Kikubwa ambacho naweza kukiongelea ni kwamba, huo wimbo ni mali yangu…namaanisha kwamba, kuna wimbo nilikuwa naanda ulikuwa unaitwa Cheche na siku nikiandaa huo wimbo studio kwangu nilitembelewa na producer Lolipop na aliniambia ameipenda basi nikamruhusu aichukue.

“Lengo la mimi kumkabidhi ni kwamba aimalizie kisha amkabidhi msanii wangu aitwae Modala kwani ndio makubaliano yenu lakini sio wazo la chorus na mdundo visikike kwa Ommy Dimpoz” – Abydaddy.

Alichoongea Ommy Dimpoz aongea baada ya kusainiwa Rockstar4000!!!

You Might Also Like

Dj Khaled ametuletea hii video mpya ‘Staying alive’ akiwa na Drake na Lil Baby

Harmonize aendelea kumlilia Kajala, aonesha Magari mawili ya kifahari aliyomnunulia ‘Rudi Nyumbani’

Mwijaku aonesha kufuru ya Harmonize, gari jipya lenye jina la Kajala latua Dar

Diamond alivyotua kwenye birthday party ya Meneja wake, Baba Levo na Sallam waongea kuhusu ‘Private Jet’

Nandy ampa zawadi hii Billnas, waonesha mahaba yao, Whozu awaimbia (video+)

TAGGED: bongo fleva, Ommy dimpoz
Edwin TZA July 8, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Maneno ya Mama wa msichana aliyedai kupewa mimba na Qboy akatelekezwa
Next Article VIDEO: ACT wazungumzia kukamatwa kwa Halima Mdee na viongozi wengine
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
Entertainment March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
Top Stories March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
Top Stories March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
Sports March 23, 2023

You Might also Like

Sports

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

March 23, 2023
Sports

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

March 22, 2023
Sports

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

March 18, 2023
SportsTop Stories

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

March 17, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?