Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Simba SC wanaendelea kuzikusanya point tu ili watetee taji la TPL
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 1, 2023
June 1, 2023
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
May 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Simba SC wanaendelea kuzikusanya point tu ili watetee taji la TPL
Sports

Simba SC wanaendelea kuzikusanya point tu ili watetee taji la TPL

February 26, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Simba SC ambao ndio Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania bara, leo walikuwa Iringa katika uwanja wa Samora kucheza dhidi ya Lipuli FC ikiwa ni muendelezo wa michezo yao ya Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2018/2019, Simba ndio timu ambayo ina viporo vingi kwa sasa.

Wakiwa wanajua kuwa wapo nyuma kwa michezo mingi na point pia, Simba dhidi ya Lipuli wamehakikisha wanatoka na point zote tatu kutoka katika uwanja wa Samora kwa kuifunga Lipuli FC kwa magoli 3-1, magoli ya Simba yakifungwa na Clotous Chama dakika ya 6, 44 na Meddie Kagere dakika ya 58.

Lipuli FC waliopo nafasi ya 5 katika msimamo wa Ligi Kuu goli lao pekee lilifungwa na Paul Nonga dakika ya 18 wakiwa na point 38 walizopata katika michezo yao 28, Simba wanaendelea kuwa nafasi ya tatu licha ya kupunguza viporo vya na sasa wana viporo sita wakiwa na point 48, Yanga akiongoza Ligi kwa kuwa na point 61, wakicheza michezo 25 sawa na Azam waliopo nafasi ya pili wakiwa na point 50.

Mwinyi Zahera alisababisha shabiki wa Yanga abet mke wake

You Might Also Like

Guardiola anyakua tuzo ya tatu ya Meneja Bora wa Mwaka wa LMA!

Pochettino Kocha Mpya Chelsea

Mario Balotelli atabiri fainali ya Man City vs Inter Milan juni 10

Cristiano Ronaldo kuondoka Al-Nassr adaiwa kuwasiliana na Real Madrid

Picha: Yanayojiri kwa Benjamini Mkapa, mashabiki wafurika nje kushuhudia mechi ya Yanga SC dhidi ya USM Alger

TAGGED: sokabongo
Rama Mwelondo TZA February 26, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Meya Seleboss amcharukia Mwalimu alieandika uongo kwenye daftari (+video)
Next Article Masikini !Kemikali yawaponza wafanyabiashara,wafikishwa kortini(+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 1, 2023
Magazeti June 1, 2023
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
Top Stories May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
Top Stories May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
Top Stories May 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

May 31, 2023
Top Stories

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

May 31, 2023
Top Stories

Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo

May 31, 2023
Top Stories

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

May 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?