Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

March 24, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Makundi ya kihindu pamoja na chama tawala cha Hindu nationalist Bharatiya Janata, wanadai kwamba wamishonari wa kikristo wanabadili Imani za watu kote nchini kwa kutumia nguvu au ushawishi usiofaa.

Katika miaka ya karibuni, wamedai kwamba waislamu wamekuwa wakivuta watu kwenye dini yao kupitia njia haramu na hadi sasa majimbo 12 kati ya 28 yaliopo nchini humo yamepitisha sheria hiyo, wakati baadhi ya yaliobaki yakitadhmini kufuata nyayo .

Hayo yamejiri wakati tume ya Marekani ya Uhuru wa kimataifa wa dini, USCRIF, ikieleza wasiwasi wake kutokana na sheria hiyo, na kuomba ibatilishwe.

USCRIF kupitia ripoti imesema kwamba sheria hiyo mpya inavuruga uhuru wa kidini nchini India, ambao tayari ulikuwa hatarini, na kwamba hatua hiyo ni kinyume na sheria za kimataifa za haki za binadamu.

Viongozi ya makundi ya walio wachache nchini India wanasema kwamba sheria mpya ya kutobadili Imani iliyopitishwa katika baadhi ya majimbo inalenga kuadhibu na kukandamiza makundi ya wakristo na waislamu nchini humo.

Chanzo:VOA

You Might Also Like

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA March 24, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
Next Article 20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?