Mkurugenzi Mtendaji wa CMG Joseph Kusaga ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Mafia, Zephania Sumaye kwa ushirikiano wao katika kuhakikisha #CloudsFm inasikia Mafia kupitia 88.5Mhz.
Joseph Kusaga afunguka Clouds kusikika kwenye kisiwa cha ‘Mafia’, aoimba hili Serikali
Leave a comment
Leave a comment