Baada ya Mkuu wa mkoa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge kutoa maagizo kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa kuhusu wahalifu wanaoiba mafuta bandarini, Kamanda wa Polisi Kanda ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema serikali itatumika gharama yoyote ile kuzuia uhalifu huo.
Kauli ya Mambosasa baada ya kupewa maagizo “Serikali haitakuacha bure” (+video)
Leave a comment
Leave a comment