Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limetoa taarifa za za kukamatwa kwa Joshua Mollel ambaye ni mlinzi wa eneo la mstahiki meya wa jiji la Arusha Maxmillian Iranghe kwa tuhuma za mauaji ambapo mtuhumiwa huyo amekiri kuhusika nakuonyesha kichwa hicho.
Kichwa cha Mlinzi aliyeuawa chapatikana, Mlinzi mwenzake aonesha (video+)
Leave a comment
Leave a comment