Kijana auwawa kisa flash ya kuhifadhia nyimbo, familia wasimulia (video+)
February 12, 2022
Share
0 Min Read
SHARE
Kijana Nyangi Kambarage(20) aliyekuwa mkazi wa mtaa wa Igelegele Maina, Ameuwawa baada ya kupigwa na rafiki zake wakimshtumu amepoteza flash waliyokuwa wakiitumia kuhifadhia nyimbo wakati wakienda kusherehesha kwenye Maharusi.
Ayo TV & Millardayo.com imefika nyumbani alipokuwa akiishi marehemu na kuzungumza familia yake.