Ni Kocha wa Timu ya Kagera Sugar Mecky Mexime akielezea maandalizi yalivyo kuelekea mchezo wao wa kesho Desemba 21 dhidi ya Timu ya Simba katika uwanja wa Kaitaba na anatumia nafasi hiyo kuelezea anavyomfahamu Kocha Juma Mgunda huku akibeza wale waliosema hana vyeti.
Kocha Mexime aibuka na waliombeza Mgunda kuhusu leseni ya Ukocha
Leave a comment
Leave a comment