Pichaz kutoka Dar es Salaam kwenye Fainali ya Kinondoni Talent Search, Rais JK Mgeni Rasmi..
Share
3 Min Read
SHARE
Safari ya Vijana ambao waliamua kufungua milango kuelekea ndoto zao, kutumia vipaji vyao ili viwe ajira kupitia Mchakato wa Kinondoni Talent Search, usiku wa August 15 2015 tayari imefikia hatua ya Fainali.
Wazo la Kinondoni Talent Search lilitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, DC Paul Makonda na vijana ambao waliiona hii nafasi walijitokeza kwa wingi kushiriki, ukapita mchujo mpaka kupatikana wachache ambao wamegusa stage ya fainali.
Washindi wa kudance, kuimba na kuchekesha tayari wamepatikana na hapa ninaanza kukusogezea pichaz mwanzo mwisho ilivyokuwa kwenye Fainali hizo.
Rais JKalikuwa mgeni rasmi kwenye fainali hizi, pembeni yake ni DC Paul Makonda.Mastaa waBongo Movie nao wakifuatilia kwa ukaribu kila kitu kwenye Fainali.Steve Nyerere ana jeraha kichwani, lakini alikuwepo pia.Mwigizaji Single Mtambalike na Irene Uwoyapembeni.Mrembo Rose Ndauka, staa mwingine toka Bongo Movie.MC wa Shughuli ndio huyu bwana, anaitwa Mpokitoka Kundi la Orijino Komedi..Nuh Mziwandana mpenzi wake, Shilolekwa pembeni.Mrembo staa wa Muziki, Baby JMwigizaji Odamana Rapper Izzo Bizness.Meza ya Majaji, Msami Baby pale mwanzo, Kajala, Peter Msechuna mwisho ni Zembwela.
Huyu ni mwimbaji, hii ilikuwa time yake kuonesha uwezo.Meza Kuu pembeni ya Stage, yuko Rais JK, Mbunge Idd Azzan, DC Paul Makonda na Samson Mwakifwamba, Kiongozi wa Bongo Movie.Kijana akionesha uwezo wake kwenye kuchekesha..Huyu mrembo yeye alishiriki kama mwimbaji.Mchekeshaji aliyeibuka na jina la Balotelli, huyu ndio mshindi wa Comedy...Mshiriki mwingine wa kudance.Wema Sepetuna Mirror...Kitu kimemfurahisha Ray.Huyu mshiriki ndio mshindi kwa upande wa waimbaji,, anaitwa Lilian.Huyuni Laidanus Vitalis, ndiye mshindi wa dancers.
PAPO KWA PAPO zipate habari zote zinazonifikia za siasa muziki, michezo, maisha, Breaking news na nyingine kwa kujiunga hapa na mimi >>> TwitterInstaFBna nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos