Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ameshinda kwenye kura za maoni za chama hicho kwa kupata kura 181 kati ya kura 207 hivyo anakuwa mgombea atakayepeperusha bendera ya CHADEMA kugombea ubunge jimbo la Arusha mjini
Lema apita kura za maoni kugombea ubunge Arusha mjini
Leave a comment
Leave a comment