Muda huu Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Prof. Ibrahim Lipumba leo August 11, 2020 amechukua Fomu ya kugombea Urais wa Tanzania katika Uchaguzi wa October 2020, bonyeza PLAY hapa chini kutazama LIVE.
LIVE: Prof. Lipumba anazungumza baada ya kuchukua fomu ya Urais
Leave a comment
Leave a comment