Kutoka Mkoani Mwanza mabasi mawili ya Shule kugongana uso kwa uso na kusababisha Kifo cha Dereva wa Basi la Shule ya msingi Nyamunge na Wanafunzi 10 Kujeruhiwa.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mwanza Ahmed Msangi amesema dereva wa gari amefariki na wanafunzi ambao ni majeruhi wapo hospitalini wakipatiwa matibabu.
MACHOZI: Rais Magufuli akimuongoza Mama yake kuaga Mwili wa Monica
Wakili anaemtetea Mbowe, Viongozi 8 amejitoa, aeleza sababu
https://youtu.be/O8oRJbr5u14