Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 1 Oktoba, 2019 amefanya uteuzi na kuwahamisha vituo vya kazi Wakurugenzi wa Halmashauri za Manispaa na Wilaya, pia amefanya uteuzi wa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Mkuu wa Itifaki (Chief of Protocal).
BREAKING: Rais magufuli afanya uteuzi, atumbua Boss NEC, ahamisha Wakurugenzi 10 (+video)
Leave a comment
Leave a comment