Leo kupitia hapa Ayo TV tunakukutanisha na Muigizaji wa Vichekesho ambaye video zake zinaendelea kutrend katika Mitandao ya Kijamii na kupostiwa na mastaa mbalimbali akiwemo Staa wa Bongo fleva na Mbunge wa Muheza Mwana FA katika ukurasa wake wa Instagram.
Mchekeshi anayetrend mtandaoni afunguka ‘Mujwau shuka. aonyesha mbwembwe zake’
Leave a comment
Leave a comment