Leo May 29, 2018 TGNP Mtandao waliandaa jukwaa la Wananchi kutoa maoni yao kuhusu Bajeti ya Wizara ya Afya kama inakidhi na kumuwezesha Msichana aliyeko shuleni kukabiliana na tatizo la ukosefu wa Pads kwa watoto wakike shuleni mjini na vijijini.
Wananchi wanataka Bajeti Maalum kwa ajili ya Mtoto wa kike kujistiri
Leave a comment
Leave a comment