Baada ya Chama cha mapinduzi Mkoa wa Kagera kuwapokea Madiwani wa CHADEMA wamesema kuwa wana orodha ndefu ya wanaotaka kurudi na zoezi hilo ni endelevu huku wakimtumia salamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kuwa amtafute Kiongozi wa ngazi za juu CCM ili na yeye aombe kuhamia mana atabaki peke yake.
CCM wamwambia Mbowe “unapata tabu”, RC aagizwa kufyatuka na CHADEMA
Leave a comment
Leave a comment