Anna Migila ni mmoja wa mashujaa waliopambana na Saratani ambapo mwaka 2011 alibainika ana Saratani katika Matiti ambayo ilipekea akatwe Titi moja, huku akielezwa kwamba endapo angechelewa basi angepoteza maisha.
“Nimekatwa matiti, walinipa nusu kaputi” Anna Migila (+video)
Leave a comment
Leave a comment