Leo June 1, 2018 Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea ni mmoja ya wabunge waliosimama leo bungeni kuchangia bajeti ya wizara ya madini kwa mwaka 2018/19 ambapo amehoji kuwa katika kitabu cha waziri na cha kamati hakuna sehemu imeeleza kuhusu suala la Makinikia kwa ufasaha hasa mazungugumzo yanayoyoendelea kati ya Serikali.
Makinikia yako wapi, fedha hizi zinapatikana lini’?-Saed Kubenea (+video)
Leave a comment
Leave a comment