Leo June 4, 2018 Mtoto Antony Petro anayeendelea na masomo yake katika shule ya Amani Vumwe iliyopo mwanga Mkoani Kilimanjaro ametuelezea ratiba yake nzima ya masomo inavyokuwa ambapo pamoja na mambo mengine amesema tangu azaliwe hajawahi kula pilau wala makande lakini alipofika shuleni aliweza kula kwa mara ya kwanza.
Anapolala Mtoto aliyemshtaki Baba yake, vyakula ambavyo hajawahi kula
Leave a comment
Leave a comment