Leo August 23, 2019 Alberto Msando ambaye ni Wakili wa kujitegemea amefika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kulipa MILIONI 5 ambazo Rais John Magufuli aliahidi kuzitoa kumlipia Mama aliyemlilia akitaka alipiwe gharama hizo ili apatiwe mwili wa Mama yake.
Albert Msando amlipia Rais Magufuli deni Muhimbili (+video)
Leave a comment
Leave a comment