Muda mfupi baada ya kuapishwa David Kafulila aliyewahi kuwa Mbunge kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi ambaye hivi karibuni ameteuliwa na Rais Magufuli kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Songwe asema hakutegemea kuteuliwa, ameuzungumzia uteuzi wa Jokate Mwegelo kuwa DC.
Kafulila azungumzia uteuzi wa Jokate ‘Sikutegemea’
Leave a comment
Leave a comment