Mbunge wa Iramba Magharibi Dr. Mwigulu Nchemba ameungana na Shirika la Umeme nchini (TANESCO) ambapo wameanza mkakati wa kuhakikisha unasambaza huduma ya umeme wa REA katika vijiji vyote vilivyopo katika jimbo hilo ili iweze kuwsaidia wananchi katika kuendesha shughuli za kimaisha.
“Nilikuwa najisikia vibaya, hawa watu walitutenga?” –Mwigulu Nchemba
Leave a comment
Leave a comment