Leo December 24, 2018 Nakukutanisha na Kijana Zuberi Ismail ana miaka 20 ni mkazi wa Kigoma ambaye ameishia Darasa la 6 na amebuni Pikipiki ndogo ambayo inawaka japo haina uwezo wa kubeba abiria ila ina sifa za Pikipiki.
Kijana wa Kigoma ametengeneza Pikipiki yake inawaka “napiga hela kila siku” (+video)
Leave a comment
Leave a comment