Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Sophia Kizigo amesema atapambana na Wananchi wanaojimilikisha Milima na kuharibu Mazingira ambao wameonekana kuwa tishio kwa Wananchi na kupelekea kuwepo kwa Uharibifu wa Mazingira.
Mkuu wa Wilaya kupambana na Ma Don- wa Kijijini, ‘Wanajiita Untouchable sisi, tutapeleka migambo’
Leave a comment
Leave a comment