Chama cha Hakimiliki Tanzania COSOTA kimewaonya wanaotafsiri filamu za ndani na nje ya nchi kuacha mara moja kwani wakikutwa adhabu kali zitachukuliwa ikiwemo kifungo kuanzia miaka 3 jela, huku faini ikianzia Milioni 3 hadi 30.
“Ole wako utafsiri filamu, faini Milioni 30, jela miaka mitano” (+video)
Leave a comment
Leave a comment