Baada maamuzi ya Mahakama kuwaachilia huru Askari nane waliokuwa wanakabiliwa na kesi namba 01 ya mwaka 2019 ya kutorosha madini aina ya dhahabu, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Jumanne Muliro amezungumzia hatima ya askari hao.
Kamanda azungumzia Askari 8 waliosamehewa kesi ya utoroshaji dhahabu (+video)
Leave a comment
Leave a comment