Abiria waliokuwa wakisafiri kutoka Mkoani Kigoma kwenda DSM na basi kampuni ya ARIZONA wamegoma kuendelea na safari katika kituo cha mabasi Tabora Mjini kwa madai kuwa gari hilo lina kunguni huku Jeshi la Polisi likizuia gari hilo.
Abiria wagoma kuendelea na safari “gari ina kunguni” (+video)
Leave a comment
Leave a comment