Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameamuru waratibu 24 TASAF ngazi ya Wilaya wakamatwe kwa kuruhusu marehemu hewa walipwe fedha za TASAF na kuisababishia hasara ya zaidi ya Milioni 300 kwa Serikali kwa kuruhusu Kaya hewa 1000 kulipwa fedha hizo.
Sabaya aamuru Watumishi 24 wakamatwe “walilipa Marehemu hewa 193” (+video)
Leave a comment
Leave a comment